Home »
Siasa
» Lukuvi aongoza mazishi ya Mzee Joseph Mungai huko Mafinga Wilaya ya Mufindi, Iringa
 |
Familia ya Marehemu Joseph Mungai ikiwa imeshikana mkono ishara ya upendo wakati wa mazishi ya baba yao mjini Mafinga wilaya ya Mufindi mkoa wa Iringa.
 |
Waziri mkuu mstaafu Mhe. Frederick Sumaye akitoa salama zake kwa niaba ya mwenyekiti wa Taifa wa Chadema katika mazishi ya Mzee Joseph Mungai huko Mafinga wilaya ya Mufindi mkoa wa Iringa.
 |
Waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. Wiliam Lukuvi akiteta jambo na mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu wakati wa mazishi ya marehemu Mungai. |
|
|
0 comments:
Post a Comment